WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam leo walifurika nyumbani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, kwa ajili ya kuuaga mwili wa baba yake mzazi, mzee James Bukumbi, aliyefariki jijini Dar es Salaam Agosti 25 mwaka huu. Hafla hiyo iliyohudhuriwa na watu wa aina mbalimbali ilifanyika nyumbani kwa Shigongo, eneo la Kijitonyama, jijini.
Wednesday, August 29, 2012
MAREHEMU BABA WA SHIGONGO ALIVYOAGWA NA WAKAZI WA DAR
WAKAZI wa jiji la Dar es Salaam leo walifurika nyumbani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo, kwa ajili ya kuuaga mwili wa baba yake mzazi, mzee James Bukumbi, aliyefariki jijini Dar es Salaam Agosti 25 mwaka huu. Hafla hiyo iliyohudhuriwa na watu wa aina mbalimbali ilifanyika nyumbani kwa Shigongo, eneo la Kijitonyama, jijini.
TAARIFA KAMILI KUHUSU DIDIER DROGBA KUONEKANA TENA CHELSEA.
2
Mtandao wa Give me football
umeripoti kwamba Mkali wa soka Didier Drogba ambae baada ya mkataba wake
na Chelsea kuisha alisain dili jipya na club ya Shenhua ya China,
amerudi na kuonekana kwenye mazoezi na Chelsea.
Katika kipindi hiki cha mapumziko kwenye msimu wa soka China, Drogba amerudi London kuisalimia familia yake lakini pia alionekana kwenye uwanja wa mazoezi na Chelsea.
Give me Football wamezidi kutiririka kwamba kuna uwezekano huo ndio ukawa mwisho wa Drogba kuichezea Shenhua baada ya kugundulika kwamba club hiyo inahangaika kutafuta pesa za kuendelea kuwalipa wachezaji wake kutokana na pesa nyingi kutolewa kwa mishahara ya Drogba na Anelka.
Kutokana na club hiyo kuwa na tatizo la kifedha kwa sasa upo uwezekano mkubwa wa Drogba na Anelka kuuzwa kwenye club nyingine ili angalau hizo pesa zisaidie kuiokoa Shenhua, kutokana na hilo pia kwa sasa kuna uwezekano mkubwa wa Drogba kurudi kuichezea Chelsea kama itakubali kuilipa Shenhua.
Katika kipindi hiki cha mapumziko kwenye msimu wa soka China, Drogba amerudi London kuisalimia familia yake lakini pia alionekana kwenye uwanja wa mazoezi na Chelsea.
Give me Football wamezidi kutiririka kwamba kuna uwezekano huo ndio ukawa mwisho wa Drogba kuichezea Shenhua baada ya kugundulika kwamba club hiyo inahangaika kutafuta pesa za kuendelea kuwalipa wachezaji wake kutokana na pesa nyingi kutolewa kwa mishahara ya Drogba na Anelka.
Kutokana na club hiyo kuwa na tatizo la kifedha kwa sasa upo uwezekano mkubwa wa Drogba na Anelka kuuzwa kwenye club nyingine ili angalau hizo pesa zisaidie kuiokoa Shenhua, kutokana na hilo pia kwa sasa kuna uwezekano mkubwa wa Drogba kurudi kuichezea Chelsea kama itakubali kuilipa Shenhua.
PICHA ZA INTERVIEW YA MILLARD AYO NA CMB PREZZO ON CLOUDS TV.
PICHA ZA AJALI NYINGINE YA LORI KARIBU NA CHALINZE.
HUYU NDIO MREMBO WA KITANZANIA ANAESHINDANIA MISS EAST AFRICA BELGIUM.
Jina lake ni Juliana Pierre
mtanzania ambae yuko kwenye list ya warembo wanaolitaka taji la Miss
East Africa Belgium 2012 ( representing Tanzania), mwenye nguvu ya
kumuweka kwenye nafasi ya ushindi ni wewe pekee kwa kulike page yake ya
facebook… please tumsupport mtu wetu kwa kukopi na kulike hiyo page yake
ya facebook hapo chini, mimi nimeshalike tayari….
http://www.facebook.com/JulianaPierreFinalisteMissEastAfricaBelgium2012
http://www.facebook.com/JulianaPierreFinalisteMissEastAfricaBelgium2012
EXCLUSIVE: HII NDIO PETE YA UCHUMBA ALIYOVISHWA MWIGIZAJI AUNT EZEKIEL!
s
Stori kamili ni kwamba bado
mpaka sasa movie star wa Tanzania Aunt Ezekiel hajaolewa ila pete ya
uchumba tayari ameshavalishwa kwenye party iliyofanyika huko Dubai, ndoa
ni mwezi november na itafanyika hukohuko Dubai.
Aunt amesema aliemvisha pete ya uchumba sio mwigizaji wala mtu maarufu wa Tanzania kwa sababu huwa hapendi kuwa kwenye mapenzi na staa, mumewe mtarajiwa ni Sunday Demonte…. na anauhakika huyu wa sasa atakua tofauti na mwanaume aliekua nae 2008/2009 aliekua anampiga na kumnyanyasa kila siku.
Aunt amesema ndoa yake itakayofungwa Dubai itahudhuriwa na watu 100 tu, amezungumza pia mengine kuhusu kubadili dini na kufata dini ya mume, kuhamia Dubai pamoja na ishu nyingine…. utaendelea kupata info nyingine hapahapa millardayo.com pamoja na kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM.
Aunt amesema aliemvisha pete ya uchumba sio mwigizaji wala mtu maarufu wa Tanzania kwa sababu huwa hapendi kuwa kwenye mapenzi na staa, mumewe mtarajiwa ni Sunday Demonte…. na anauhakika huyu wa sasa atakua tofauti na mwanaume aliekua nae 2008/2009 aliekua anampiga na kumnyanyasa kila siku.
Aunt amesema ndoa yake itakayofungwa Dubai itahudhuriwa na watu 100 tu, amezungumza pia mengine kuhusu kubadili dini na kufata dini ya mume, kuhamia Dubai pamoja na ishu nyingine…. utaendelea kupata info nyingine hapahapa millardayo.com pamoja na kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM.
Subscribe to:
Posts (Atom)