----
SIKU ya Mashujaa leo imeadhimishwa kwa mbwebwe za kila aina eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa eneo la Posta katika manispaa ya Morogoro ikijumuisha wanajeshi wastaafu. Katika tukio hilo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.
(PICHA NA DUNSTAN SHEKIDELE, GPL, MOROGORO)
SIKU ya Mashujaa leo imeadhimishwa kwa mbwebwe za kila aina eneo la Mnara wa Kumbukumbu ya Mashujaa eneo la Posta katika manispaa ya Morogoro ikijumuisha wanajeshi wastaafu. Katika tukio hilo mgeni rasmi alikuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.
(PICHA NA DUNSTAN SHEKIDELE, GPL, MOROGORO)
No comments:
Post a Comment